12 Ili kuteka nyara kubwa na kupora kwa wingi,+ ili kuugeuzia mkono wako kuelekea mahali palipoharibiwa panapokaliwa tena+ na juu ya kikundi cha watu waliokusanywa pamoja kutoka katika mataifa,+ wanaokusanya utajiri na mali,+ wale wanaokaa katikati+ ya dunia.