5 Wakati huo utaona na hakika ung’ae,+ na moyo wako kwa kweli utatetemeka na kupanuka, kwa sababu mali za bahari zitajielekeza kwako; mali za mataifa zitakuja kwako.+
6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+