Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Fanya mahali pa hema lako pawe na nafasi kubwa zaidi.+ Nao wanyooshe hema la maskani yako kuu. Usizuie. Refusha kamba za hema lako, na uvitie nguvu vigingi vya hema lako.+

  • Isaya 61:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+

  • Hagai 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Hagai 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Fedha ni yangu, na dhahabu ni yangu,’+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki