Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+ Zaburi 68:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+