18 Kwa maana uovu umewaka kama moto;+ utateketeza vichaka vya miiba na magugu.+ Nao utashika moto katika vichaka vya msitu,+ navyo vitachukuliwa juu kama moshi unaopaa.+
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.