Ayubu 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana huo ni moto ambao ungeteketeza mpaka kwenye maangamizi,+Na katikati ya mazao yangu yote ungetia mizizi. Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.
12 Kwa maana huo ni moto ambao ungeteketeza mpaka kwenye maangamizi,+Na katikati ya mazao yangu yote ungetia mizizi.
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.