Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+ Hosea 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.
20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.