1 Mambo ya Nyakati 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Daudi akamuuliza Mungu: “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mikononi mwako.”+
10 Daudi akamuuliza Mungu: “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mikononi mwako.”+