1 Mambo ya Nyakati 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye Daudi akaanza kumuuliza Mungu,+ akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti, na je, hakika utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mkononi mwako.”
10 Naye Daudi akaanza kumuuliza Mungu,+ akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti, na je, hakika utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mkononi mwako.”