Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa maana alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe hutakatilia mbali fadhili zako zenye upendo zisiwe na nyumba yangu mpaka wakati usio na kipimo.+ Wala, wakati Yehova atakapokatilia mbali adui za Daudi, kila mmoja kutoka usoni pa nchi,

  • 1 Samweli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Nenda kwa amani,+ kwa maana tumeapa,+ sisi wawili, katika jina la Yehova, tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.’”+

      Basi Daudi akaondoka, akaenda zake, na Yonathani akarudi jijini.

  • Methali 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki