42 Yonathani akamwambia Daudi: “Nenda kwa amani, kwa maana sote wawili tumeapa+ kwa jina la Yehova tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu na uzao wako milele.’”+
Kisha Daudi akainuka na kuondoka, naye Yonathani akarudi jijini.