1 Samweli 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+ 1 Samweli 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kuhusu neno hili ambalo tumesema+ mimi na wewe, tazama, Yehova na awe kati yangu na wewe mpaka wakati usio na kipimo.”+
17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+
23 Na kuhusu neno hili ambalo tumesema+ mimi na wewe, tazama, Yehova na awe kati yangu na wewe mpaka wakati usio na kipimo.”+