42 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Nenda kwa amani,+ kwa maana tumeapa,+ sisi wawili, katika jina la Yehova, tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.’”+
Basi Daudi akaondoka, akaenda zake, na Yonathani akarudi jijini.