1 Samweli 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kuhusu neno hili ambalo tumesema+ mimi na wewe, tazama, Yehova na awe kati yangu na wewe mpaka wakati usio na kipimo.”+ 1 Samweli 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo hao wawili wakafanya agano+ mbele za Yehova; na Daudi akaendelea kukaa katika Horeshi, naye Yonathani akaenda nyumbani kwake. 2 Samweli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+
23 Na kuhusu neno hili ambalo tumesema+ mimi na wewe, tazama, Yehova na awe kati yangu na wewe mpaka wakati usio na kipimo.”+
18 Ndipo hao wawili wakafanya agano+ mbele za Yehova; na Daudi akaendelea kukaa katika Horeshi, naye Yonathani akaenda nyumbani kwake.
7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+