28 Kwa maana nyumba yote ya baba yangu ingelikuwa si kitu ila kuhukumiwa kifo mbele ya bwana wangu mfalme, na hata hivyo ulimweka mtumishi wako kati ya wale wanaokula mezani pako.+ Basi bado nina nini kama dai la haki la kumlilia+ zaidi mfalme?”
7 “Nawe uwaonyeshe fadhili zenye upendo wana wa Barzilai+ Mgileadi, nao wawe kati ya wale wanaokula mezani pako;+ kwa maana hivyo ndivyo walivyonikaribia+ wakati nilipokimbia mbele ya Absalomu ndugu yako.+