Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+

  • 2 Samweli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+

  • 2 Samweli 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe umlimie udongo, wewe na wana wako na watumishi wako, nawe utayakusanya mavuno, nayo yatakuwa chakula kwa walio wa mjukuu wa bwana wako, nao watakula; lakini Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula mkate mezani pangu sikuzote.”+

      Basi Siba alikuwa na wana 15 na watumishi 20.+

  • 2 Samweli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki