Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+

      צ [Tsa·dhehʹ]

      Uadilifu wake unasimama milele.+

      ק [Qohph]

      Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+

  • Methali 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+

  • Matendo 9:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Ndipo Petro akaondoka na kwenda pamoja nao. Naye alipofika, wakampeleka katika chumba cha juu; na wajane wote wakajitokeza kwake wakilia na kuonyesha mavazi mengi ya ndani na mavazi ya nje+ ambayo Dorkasi alikuwa akitengeneza alipokuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki