Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baraka+ ya mtu aliye karibu kuangamia—ilikuwa ikija juu yangu,

      Na moyo wa mjane nilikuwa nikiufurahisha.+

  • Isaya 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye mtu mkarimu, ametoa shauri kwa ajili ya mambo ya ukarimu; naye atasimama kwa ajili ya mambo ya ukarimu.+

  • Matendo 20:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimewaonyesha ninyi wazi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi+ kwa bidii hivyo ni lazima mwasaidie wale walio dhaifu,+ na lazima myakumbuke maneno ya Bwana Yesu, aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’ ”

  • 2 Wakorintho 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki