Ayubu 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baraka+ ya mtu aliye karibu kuangamia—ilikuwa ikija juu yangu,Na moyo wa mjane nilikuwa nikiufurahisha.+ Isaya 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye mtu mkarimu, ametoa shauri kwa ajili ya mambo ya ukarimu; naye atasimama kwa ajili ya mambo ya ukarimu.+ Matendo 20:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimewaonyesha ninyi wazi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi+ kwa bidii hivyo ni lazima mwasaidie wale walio dhaifu,+ na lazima myakumbuke maneno ya Bwana Yesu, aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’ ” 2 Wakorintho 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi.
13 Baraka+ ya mtu aliye karibu kuangamia—ilikuwa ikija juu yangu,Na moyo wa mjane nilikuwa nikiufurahisha.+
8 Naye mtu mkarimu, ametoa shauri kwa ajili ya mambo ya ukarimu; naye atasimama kwa ajili ya mambo ya ukarimu.+
35 Nimewaonyesha ninyi wazi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi+ kwa bidii hivyo ni lazima mwasaidie wale walio dhaifu,+ na lazima myakumbuke maneno ya Bwana Yesu, aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’ ”
6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi.