11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi;
8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+