Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini mimi sijatumia hata mmoja wa mipango hiyo.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili iwe hivyo kuhusiana na mimi, kwa maana ingekuwa vizuri zaidi kwangu nife kuliko—hakuna mtu atakayefanya sababu yangu ya kujisifu+ iwe bure!

  • 2 Wakorintho 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na bado nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu hata mmoja,+ kwa maana ndugu waliotoka Makedonia+ walijazia kwa wingi upungufu wangu. Ndiyo, katika kila njia nilikaa mwenyewe bila kuwa mzigo kwenu nami nitakaa hivyo.+

  • 1 Wathesalonike 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki