-
Matendo 20:35Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
35 Nimewaonyesha wazi nyinyi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi ya jasho hivyo ni lazima msaidie wale walio dhaifu, na lazima mzingatie akilini maneno ya Bwana Yesu, wakati yeye mwenyewe aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko kulivyo katika kupokea.’”
-