7 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua jinsi mnavyopaswa kutuiga,+ kwa sababu hatukukosa kufuata utaratibu tulipokuwa nanyi, 8 wala hatukula chakula cha yeyote bure.+ Badala yake, tulifanya kazi ngumu na yenye kutaabisha usiku na mchana ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+