35 Nimewaonyesha ninyi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi kwa bidii hivyo,+ ni lazima mwasaidie walio dhaifu, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, aliposema: ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’”
11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza, 12 ili mtembee kwa adabu machoni pa watu walio nje+ na msipungukiwe chochote.