Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kwa sababu walifanya kazi ileile, akakaa nyumbani kwao na kufanya kazi pamoja nao,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema.

  • 1 Wakorintho 9:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliamuru kwamba wale wanaotangaza habari njema waishi kupitia habari njema.+

      15 Lakini kati ya mipango hiyo sijatumia hata mmoja.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili nifanyiwe jambo hilo, kwa maana ingekuwa bora kwangu kufa kuliko—hakuna mtu atakayeondoa sababu zangu za kujisifu!+

  • 2 Wakorintho 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na bado, nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu yeyote, kwa maana ndugu waliotoka Makedonia walinipatia mahitaji yangu kwa wingi.+ Ndiyo, katika kila njia sikutaka kuwa mzigo kwenu nami nitaendelea kufanya hivyo.+

  • 1 Wathesalonike 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakika akina ndugu, mnakumbuka kazi yetu ngumu na yenye kutaabisha. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ tulipowahubiria habari njema ya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki