-
2 Wakorintho 11:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Niliyanyang’anya* makutaniko mengine kwa kupokea vitu* kutoka kwao ili niwahudumie ninyi.+ 9 Na bado, nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu yeyote, kwa maana ndugu waliotoka Makedonia walinipatia mahitaji yangu kwa wingi.+ Ndiyo, katika kila njia sikutaka kuwa mzigo kwenu nami nitaendelea kufanya hivyo.+ 10 Kwa hakika ikiwa kweli ya Kristo imo ndani yangu, sitaacha kujisifu+ katika maeneo ya Akaya.
-