11 Mpaka saa hii tunaendelea kuwa na njaa+ na kiu+ na kukosa mavazi ya kutosha* na kupigwa*+ na kuwa bila makao 12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia kwa subira;+
15 Lakini kati ya mipango hiyo sijatumia hata mmoja.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili nifanyiwe jambo hilo, kwa maana ingekuwa bora kwangu kufa kuliko—hakuna mtu atakayeondoa sababu zangu za kujisifu!+
9 Hakika akina ndugu, mnakumbuka kazi yetu ngumu na yenye kutaabisha. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ tulipowahubiria habari njema ya Mungu.
8 wala hatukula chakula cha yeyote bure.*+ Badala yake, tulifanya kazi ngumu na yenye kutaabisha usiku na mchana ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+