1 Wathesalonike 4:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza, 12 ili mtembee kwa adabu machoni pa watu walio nje+ na msipungukiwe chochote. 1 Timotheo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji watu wake mwenyewe, hasa watu wa nyumba yake, ameikana imani naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.+
11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza, 12 ili mtembee kwa adabu machoni pa watu walio nje+ na msipungukiwe chochote.
8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji watu wake mwenyewe, hasa watu wa nyumba yake, ameikana imani naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.+