Matendo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kwa sababu walifanya kazi ileile, akakaa nyumbani kwao na kufanya kazi pamoja nao,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema. Matendo 20:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninyi wenyewe mnajua kwamba nimefanya kazi kwa hii mikono yangu ili kupata mahitaji yangu+ na ya wale walio pamoja nami. 1 Wathesalonike 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hakika akina ndugu, mnakumbuka kazi yetu ngumu na yenye kutaabisha. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ tulipowahubiria habari njema ya Mungu.
3 na kwa sababu walifanya kazi ileile, akakaa nyumbani kwao na kufanya kazi pamoja nao,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema.
34 Ninyi wenyewe mnajua kwamba nimefanya kazi kwa hii mikono yangu ili kupata mahitaji yangu+ na ya wale walio pamoja nami.
9 Hakika akina ndugu, mnakumbuka kazi yetu ngumu na yenye kutaabisha. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ tulipowahubiria habari njema ya Mungu.