11 Mpaka saa hii tunaendelea kuwa na njaa+ na kiu+ na kukosa mavazi ya kutosha* na kupigwa*+ na kuwa bila makao 12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia kwa subira;+
8 wala hatukula chakula cha yeyote bure.*+ Badala yake, tulifanya kazi ngumu na yenye kutaabisha usiku na mchana ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+