Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+