Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa maana alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Nenda kwa amani,+ kwa maana tumeapa,+ sisi wawili, katika jina la Yehova, tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.’”+

      Basi Daudi akaondoka, akaenda zake, na Yonathani akarudi jijini.

  • 1 Samweli 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana mmepanga hila, ninyi nyote, juu yangu; wala hakuna yeyote anayenifunulia masikioni+ mwangu wakati mwanangu mwenyewe anapofanya agano+ na mwana wa Yese, wala hakuna yeyote kati yenu anayenisikitikia na kunifunulia masikioni mwangu kwamba mwanangu mwenyewe amemwinua mtumishi wangu juu yangu kuwa mviziaji kama ilivyo leo hii.”

  • 2 Samweli 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, mfalme akamhurumia Mefiboshethi+ mwana wa Yonathani mwana wa Sauli kwa sababu ya kile kiapo+ cha Yehova kilichokuwa kati yao, kati ya Daudi na Yonathani mwana wa Sauli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki