Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yehova na ainue uso wake kukuelekea+ na kukupa amani.”’+

  • 1 Samweli 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+

  • Luka 7:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini akamwambia yule mwanamke: “Imani yako imekuokoa;+ nenda zako kwa amani.”+

  • Matendo 16:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo mlinzi wa jela akamweleza Paulo maneno yao: “Mahakimu wa raia wamewatuma watu kwamba ninyi wawili mfunguliwe. Kwa hiyo, sasa, tokeni mwende zenu kwa amani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki