1 Samweli 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+ Yohana 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.
17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+
27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.