Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi kuhani huyo akawaambia: “Nendeni kwa amani. Njia yenu mnayoiendea iko mbele za Yehova.”

  • 1 Samweli 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa hiyo Daudi akapokea kutoka mkononi mwake vitu ambavyo alikuwa amemletea, naye akamwambia: “Panda uende kwa amani+ nyumbani kwako. Tazama, nimeisikiliza sauti yako na kukufikiria+ wewe.”

  • Marko 5:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+

  • Luka 7:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini akamwambia yule mwanamke: “Imani yako imekuokoa;+ nenda zako kwa amani.”+

  • Luka 8:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini yeye akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya;+ nenda kwa amani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki