1 Samweli 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+ Mathayo 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akageuka, akamwona, na kusema: “Jipe moyo, binti yangu; imani yako imekuponya.”+ Na kutoka saa hiyo mwanamke huyo akapona.+ Marko 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+
17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+
22 Yesu akageuka, akamwona, na kusema: “Jipe moyo, binti yangu; imani yako imekuponya.”+ Na kutoka saa hiyo mwanamke huyo akapona.+
34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+