1 Samweli 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, Yonathani akamjibu Sauli baba yake na kumwambia: “Kwa nini auawe?+ Amefanya nini?”+ 1 Samweli 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+ Methali 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Fungua kinywa chako, hukumu kwa uadilifu na kutetea mtu mwenye kuteseka na maskini.+
14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+