5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.
13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa katika ushirika wake,+ akamweka kuwa mkuu wa watu elfu kwa ajili yake; naye akatoka na kuingia kwa ukawaida mbele ya watu.+