Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi ona baba yangu,+ ndiyo, ona mkononi mwangu upindo wa koti lako lisilo na mikono, kwa sababu nilipokata upindo wa koti lako, sikukuua. Ujue na kuona kwamba hakuna ubaya+ wowote wala maasi mkononi mwangu, nami sikutenda dhambi juu yako, huku wewe ukiivizia nafsi yangu ili kuiondolea mbali.+

  • 1 Samweli 26:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yehova ndiye atakayemlipa kila mmoja uadilifu+ wake na uaminifu wake, kwa kuwa Yehova leo alikutia mkononi mwangu, nami sikutaka kunyoosha mkono wangu juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+

  • 2 Samweli 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana maamuzi yake yote ya hukumu+ yako mbele yangu;

      Na kwa habari ya sheria zake, sitageuka kando kuziacha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki