Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+

  • Zaburi 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+

      Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+

      Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.

  • Zaburi 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+

  • Zaburi 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Uwape kulingana na matendo yao+

      Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+

      Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+

      Uwalipe matendo yao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki