1 Samweli 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+ Zaburi 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimefanya hili,+Ikiwa kuna ukosefu wowote wa haki katika mikono yangu,+ Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+
3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimefanya hili,+Ikiwa kuna ukosefu wowote wa haki katika mikono yangu,+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+