22 “Mwenye Uwezo,+ Mungu,+ Yehova, Mwenye Uwezo, Mungu, Yehova,+ yeye anajua,+ na Israeli pia atajua.+ Ikiwa ni kwa uasi+ na ikiwa ni kwa kukosa uaminifu kwa Yehova,+ usituokoe leo hii.
8 Yehova amerudisha juu yako hatia yote ya damu kwa ajili ya nyumba ya Sauli ambaye umetawala ukiwa mfalme mahali pake; na Yehova anautia ufalme mkononi mwa Absalomu mwana wako. Na sasa tazama, umo katika msiba wako, kwa sababu wewe ni mtu mwenye hatia ya damu!”+