Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini adui zangu wamekuwa wengi?+Kwa nini wengi wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wengi wanasema juu ya nafsi yangu:“Hakuna wokovu kwa ajili yake kutoka kwa Mungu.”+ Sela. Zaburi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova Mungu wangu,+ nimekukimbilia wewe.+Uniokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unikomboe,+ Zaburi 71:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+
7 Ee Yehova Mungu wangu,+ nimekukimbilia wewe.+Uniokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unikomboe,+ Zaburi 71:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+