2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu. 2 Samweli 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini Absalomu na watu wote, wanaume wa Israeli, wakaingia Yerusalemu;+ na Ahithofeli+ alikuwa pamoja naye.
12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
15 Lakini Absalomu na watu wote, wanaume wa Israeli, wakaingia Yerusalemu;+ na Ahithofeli+ alikuwa pamoja naye.