Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini adui zangu wamekuwa wengi?+Kwa nini wengi wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+ Methali 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Usishirikiane na watu wanaotaka badiliko.+
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+