1 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova atakuwa mwamuzi, naye atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kufanya kesi+ kwa ajili yangu na kunihukumu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwako.” Zaburi 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+Upigane na wale wanaopigana nami.+ Methali 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+
15 Na Yehova atakuwa mwamuzi, naye atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kufanya kesi+ kwa ajili yangu na kunihukumu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwako.”
23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+