Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+

      Upigane na wale wanaopigana nami.+

  • Zaburi 43:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Unihukumu,+ Ee Mungu,

      Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.

      Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+

  • Zaburi 119:154
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 154 Uendeshe kesi yangu na kunikomboa;+

      Unihifadhi hai kulingana na neno lako.+

  • Mika 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia​—​kwa maana nimemtendea dhambi+​—​mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki