Zaburi 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+Upigane na wale wanaopigana nami.+ Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+ Zaburi 119:154 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 154 Uendeshe kesi yangu na kunikomboa;+Unihifadhi hai kulingana na neno lako.+ Mika 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+
9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+