Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+

      Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+

  • Zaburi 55:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini ilikuwa ni wewe, mwanadamu anayeweza kufa tunayelingana,+

      Mtu tunayejuana na ambaye ni rafiki yangu,+

  • Mika 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msimwamini mwenzi. Msimtegemee rafiki msiri.+ Linda milango ya kinywa chako kutokana na yeye anayelala kifuani pako.+

  • Yohana 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki