Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+ Zaburi 55:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ilikuwa ni wewe, mwanadamu anayeweza kufa tunayelingana,+Mtu tunayejuana na ambaye ni rafiki yangu,+ Mika 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msimwamini mwenzi. Msimtegemee rafiki msiri.+ Linda milango ya kinywa chako kutokana na yeye anayelala kifuani pako.+ Yohana 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+
13 Lakini ilikuwa ni wewe, mwanadamu anayeweza kufa tunayelingana,+Mtu tunayejuana na ambaye ni rafiki yangu,+
5 Msimwamini mwenzi. Msimtegemee rafiki msiri.+ Linda milango ya kinywa chako kutokana na yeye anayelala kifuani pako.+
18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+