Ayubu 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndugu zangu wametenda kwa hila,+ kama mto wa majira ya baridi kali,Kama mfereji wa mito ya majira ya baridi kali inayoendelea kukauka. Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+ Yeremia 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Jihadharini kila mmoja na rafiki yake,+ wala msimtegemee ndugu hata kidogo.+ Kwa maana kila ndugu hakika atanyakua mahali pa mwingine,+ na kila rafiki atatembea huku na huku akiwa mchongezi,+ Luka 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, mtatolewa hata na wazazi+ na ndugu na jamaa zenu na rafiki zenu, nao watafanya wengine kati yenu wauawe;+
15 Ndugu zangu wametenda kwa hila,+ kama mto wa majira ya baridi kali,Kama mfereji wa mito ya majira ya baridi kali inayoendelea kukauka.
4 “Jihadharini kila mmoja na rafiki yake,+ wala msimtegemee ndugu hata kidogo.+ Kwa maana kila ndugu hakika atanyakua mahali pa mwingine,+ na kila rafiki atatembea huku na huku akiwa mchongezi,+
16 Zaidi ya hayo, mtatolewa hata na wazazi+ na ndugu na jamaa zenu na rafiki zenu, nao watafanya wengine kati yenu wauawe;+