Mwanzo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hii ndiyo historia ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa, katika siku ambayo Yehova Mungu aliifanya dunia na mbingu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
4 Hii ndiyo historia ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa, katika siku ambayo Yehova Mungu aliifanya dunia na mbingu.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+