39 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ makao yako yaliyofanywa imara,+ nawe usamehe+ na kutenda+ na kumpa kila mmoja kulingana na njia zake zote,+ kwa sababu unaujua moyo wake+ (kwa maana ni wewe peke yako unayejua vema moyo wa wanadamu wote);+
3 Nawe, Ee Yehova, unanijua mimi vema;+ unaniona, nawe umeuchunguza moyo wangu katika muungano na wewe.+ Waweke peke yao kama kondoo wa kuchinjwa,+ na kuwatenga kwa ajili ya siku ya kuuawa.